5 Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukatubu na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako cha taa mahali pake.
Kusoma sura kamili Ufunuo 2
Mtazamo Ufunuo 2:5 katika mazingira