Ufunuo 20:6 BHN

6 Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka 1,000.

Kusoma sura kamili Ufunuo 20

Mtazamo Ufunuo 20:6 katika mazingira