Ufunuo 20:8 BHN

8 Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.

Kusoma sura kamili Ufunuo 20

Mtazamo Ufunuo 20:8 katika mazingira