Ufunuo 21:6 BHN

6 Kisha akaniambia, “Yametimia! Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uhai.

Kusoma sura kamili Ufunuo 21

Mtazamo Ufunuo 21:6 katika mazingira