Ufunuo 3:20 BHN

20 Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami.

Kusoma sura kamili Ufunuo 3

Mtazamo Ufunuo 3:20 katika mazingira