Ufunuo 4:1 BHN

1 Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, “Njoo hapa juu, nami nitakuonesha mambo yatakayotukia baadaye.”

Kusoma sura kamili Ufunuo 4

Mtazamo Ufunuo 4:1 katika mazingira