Ufunuo 6:15 BHN

15 Kisha, wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye miamba milimani.

Kusoma sura kamili Ufunuo 6

Mtazamo Ufunuo 6:15 katika mazingira