Ufunuo 7:15 BHN

15 Ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Humtumikia Mungu mchana na usiku katika hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda.

Kusoma sura kamili Ufunuo 7

Mtazamo Ufunuo 7:15 katika mazingira