Waebrania 10:1 BHN

1 Kwa vile sheria ni kivuli tu cha mambo mema yatakayokuja na si picha kamili ya mambo yale halisi, tambiko zilezile za sheria zinazotolewa mwaka hata mwaka, haziwezi kamwe kuwafanya wale wanaoabudu wawe wakamilifu!

Kusoma sura kamili Waebrania 10

Mtazamo Waebrania 10:1 katika mazingira