Waebrania 10:26 BHN

26 Maana, tukiendelea kutenda dhambi makusudi baada ya kufahamu ukweli, hakuna tambiko iwezayo kutolewa tena kwa ajili ya kuondoa dhambi.

Kusoma sura kamili Waebrania 10

Mtazamo Waebrania 10:26 katika mazingira