Waebrania 5:7 BHN

7 Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kifoni; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.

Kusoma sura kamili Waebrania 5

Mtazamo Waebrania 5:7 katika mazingira