Wagalatia 1:13 BHN

13 Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.

Kusoma sura kamili Wagalatia 1

Mtazamo Wagalatia 1:13 katika mazingira