Wagalatia 5:11 BHN

11 Na kwa upande wangu, ndugu zangu, kama bado ninahubiri kwamba kutahiriwa ni lazima, kwa nini basi, bado ninadhulumiwa? Kama ingalikuwa hivyo, mahubiri yangu juu ya msalaba wa Kristo yasingalileta aibu yoyote.

Kusoma sura kamili Wagalatia 5

Mtazamo Wagalatia 5:11 katika mazingira