Waroma 14:15 BHN

15 Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na upendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake!

Kusoma sura kamili Waroma 14

Mtazamo Waroma 14:15 katika mazingira