Waroma 6:16 BHN

16 Mnajua kwamba mkijitolea nyinyi wenyewe kama watumwa na kumtii fulani, mnakuwa kweli watumwa wake mtu huyo – au watumwa wa dhambi na matokeo yake ni kifo, au wa utii na matokeo yake ni kufanywa kuwa waadilifu.

Kusoma sura kamili Waroma 6

Mtazamo Waroma 6:16 katika mazingira