Yakobo 4:12 BHN

12 Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?

Kusoma sura kamili Yakobo 4

Mtazamo Yakobo 4:12 katika mazingira