Yohane 1:33 BHN

33 Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma kubatiza watu kwa maji alikuwa ameniambia: ‘Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.’

Kusoma sura kamili Yohane 1

Mtazamo Yohane 1:33 katika mazingira