Yohane 10:16 BHN

16 Tena ninao kondoo wengine ambao hawamo zizini humu. Inanibidi kuwaleta hao pia, nao wataisikia sauti yangu, na kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.

Kusoma sura kamili Yohane 10

Mtazamo Yohane 10:16 katika mazingira