Yohane 10:24 BHN

24 Basi, Wayahudi wakamzunguka, wakamwuliza, “Utatuacha katika mashaka mpaka lini? Kama wewe ndiwe Kristo, basi, tuambie wazi.”

Kusoma sura kamili Yohane 10

Mtazamo Yohane 10:24 katika mazingira