Yohane 12:16 BHN

16 Wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo.

Kusoma sura kamili Yohane 12

Mtazamo Yohane 12:16 katika mazingira