Yohane 12:42 BHN

42 Hata hivyo, wengi wa viongozi wa Wayahudi walimwamini Yesu. Lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.

Kusoma sura kamili Yohane 12

Mtazamo Yohane 12:42 katika mazingira