Yohane 16:17 BHN

17 Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, “Ana maana gani anapotuambia: ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?’ Tena anasema: ‘Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!’”

Kusoma sura kamili Yohane 16

Mtazamo Yohane 16:17 katika mazingira