Yohane 16:7 BHN

7 Lakini, nawaambieni ukweli: Afadhali kwenu mimi niende zangu, maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, basi, nitamtuma kwenu.

Kusoma sura kamili Yohane 16

Mtazamo Yohane 16:7 katika mazingira