Yohane 18:26 BHN

26 Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, jamaa wa yule aliyekatwa sikio na Petro, akamwuliza, “Je, mimi sikukuona wewe bustanini pamoja naye?”

Kusoma sura kamili Yohane 18

Mtazamo Yohane 18:26 katika mazingira