Yohane 21:25 BHN

25 Kuna mambo mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo kama yangeandikwa yote, moja baada ya lingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.

Kusoma sura kamili Yohane 21

Mtazamo Yohane 21:25 katika mazingira