Yohane 3:2 BHN

2 Siku moja Nikodemo alimwendea Yesu usiku, akamwambia, “Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye.”

Kusoma sura kamili Yohane 3

Mtazamo Yohane 3:2 katika mazingira