Yohane 3:26 BHN

26 Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, “Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ngambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea.”

Kusoma sura kamili Yohane 3

Mtazamo Yohane 3:26 katika mazingira