Yohane 4:46 BHN

46 Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.

Kusoma sura kamili Yohane 4

Mtazamo Yohane 4:46 katika mazingira