Yohane 6:61 BHN

61 Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananungunika juu ya jambo hilo, akawauliza, “Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?

Kusoma sura kamili Yohane 6

Mtazamo Yohane 6:61 katika mazingira