Yohane 7:1 BHN

1 Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea huko Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumuua.

Kusoma sura kamili Yohane 7

Mtazamo Yohane 7:1 katika mazingira