Yohane 7:17 BHN

17 Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe.

Kusoma sura kamili Yohane 7

Mtazamo Yohane 7:17 katika mazingira