Yohane 7:26 BHN

26 Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?

Kusoma sura kamili Yohane 7

Mtazamo Yohane 7:26 katika mazingira