Yohane 7:28 BHN

28 Basi, Yesu alipokuwa anafundisha hekaluni alipaza sauti na kusema, “Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.

Kusoma sura kamili Yohane 7

Mtazamo Yohane 7:28 katika mazingira