Yohane 9:24 BHN

24 Basi, wakamwita tena huyo aliyekuwa kipofu, wakamwambia, “Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”

Kusoma sura kamili Yohane 9

Mtazamo Yohane 9:24 katika mazingira