Yuda 1:13 BHN

13 Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanatoka kama povu. Wao ni kama nyota zinazotangatanga ambazo zimewekewa milele mahali pa giza kuu.

Kusoma sura kamili Yuda 1

Mtazamo Yuda 1:13 katika mazingira