7 Matendo mengine ya Abiya, na yote aliyoyafanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Nyakati ya Wafalme wa Yuda. Abiya na Yeroboamu waliishi katika hali ya vita.
Kusoma sura kamili 1 Wafalme 15
Mtazamo 1 Wafalme 15:7 katika mazingira