2 Samueli 1:21 BHN

21 “Enyi milima ya Gilboa,msiwe na umande au mvua juu yenu.Wala mashamba yenu daima yasitoe chochote.Maana huko ngao za shujaa zilitiwa najisi,ngao ya Shauli haikupakwa mafuta.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 1

Mtazamo 2 Samueli 1:21 katika mazingira