2 Samueli 11:27 BHN

27 Muda wa matanga ulipokwisha, Daudi aliagiza Bathsheba achukuliwe na kupelekwa nyumbani kwake. Bathsheba akawa mke wa Daudi, naye akamzalia Daudi mtoto wa kiume. Lakini jambo hilo alilofanya Daudi lilimchukiza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 11

Mtazamo 2 Samueli 11:27 katika mazingira