23 Lakini sasa amekufa, ya nini nifunge? Je, mimi naweza kumrudisha duniani? Siku moja, nitakwenda huko alikokwenda, lakini yeye hawezi kurudi kwangu.”
Kusoma sura kamili 2 Samueli 12
Mtazamo 2 Samueli 12:23 katika mazingira