2 Samueli 12:31 BHN

31 Halafu aliwachukua watu wa mji huo, akawaweka wafanye kazi wakitumia misumeno, sururu za chuma, mashoka ya chuma na kuwatumia kufanya kazi katika tanuri ya matofali; hivyo ndivyo alivyoitenda miji yote ya Waamoni. Hatimaye Daudi na watu wote walirudi Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 12

Mtazamo 2 Samueli 12:31 katika mazingira