2 Samueli 14:26 BHN

26 Kila alipokata nywele zake, (na kila mwishoni mwa mwaka alikata nywele zake kwani zilikuwa nzito), alipozipima, zilikuwa na uzito wa kilo mbili kulingana na vipimo vya kifalme.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 14

Mtazamo 2 Samueli 14:26 katika mazingira