2 Samueli 15:20 BHN

20 Wewe ulikuja huku juzijuzi tu. Je, nikufanye mtu wa kutangatanga pamoja nasi, nikijua kuwa sijui hata kule ninakoenda? Rudi nyumbani pamoja na ndugu zako. Naye Mwenyezi-Mungu akuoneshe fadhili zake na uaminifu.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 15

Mtazamo 2 Samueli 15:20 katika mazingira