2 Samueli 15:21 BHN

21 Lakini Itai akamjibu mfalme, “Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo na wewe bwana wangu mfalme uishivyo, popote utakapokuwa, ikiwa ni kwa kufa au ni kwa kuishi, nami mtumishi wako nitakuwapo.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 15

Mtazamo 2 Samueli 15:21 katika mazingira