2 Samueli 17:23 BHN

23 Ahithofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, alitandika punda wake, akaenda nyumbani, kwenye mji wake. Alipofika huko, alipanga vizuri mambo ya nyumbani kwake, akajinyonga. Akafariki na kuzikwa kwenye kaburi la baba yake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 17

Mtazamo 2 Samueli 17:23 katika mazingira