2 Samueli 18:28 BHN

28 Ndipo Ahimaasi akamwambia mfalme kwa sauti kubwa, “Mambo yote ni sawa.” Akainama mbele ya mfalme, akasujudu na kusema, “Na atukuzwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, ambaye amekukomboa kutoka watu walioinua mikono yao dhidi yako, bwana wangu mfalme.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 18

Mtazamo 2 Samueli 18:28 katika mazingira