2 Samueli 18:27 BHN

27 Yule mlinzi akasema, “Naona kuwa yule anayekimbia zaidi ni Ahimaasi mwana wa Sadoki.” Mfalme akasema, “Huyo ni mtu mwema, anatuletea habari njema.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 18

Mtazamo 2 Samueli 18:27 katika mazingira