2 Samueli 2:26 BHN

26 Kisha Abneri akamwita Yoabu, “Je, tutapigana siku zote? Je, huoni kwamba mwisho utakuwa mchungu? Je, utaendelea kwa muda gani bila kuwashawishi watu wako waache kuwaandama ndugu zao?”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 2

Mtazamo 2 Samueli 2:26 katika mazingira