2 Samueli 23:11 BHN

11 Shujaa wa tatu alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walikusanyika huko Lehi, mahali palipokuwa na shamba la dengu nyingi, nao Waisraeli waliwakimbia Wafilisti.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23

Mtazamo 2 Samueli 23:11 katika mazingira