Danieli 1:2 BHN

2 Bwana akamwacha Yehoyakimu atiwe mikononi mwa mfalme Nebukadneza pamoja na baadhi ya vyombo vya nyumba ya Mungu. Basi mfalme Nebukadneza akachukua mateka na vyombo akavipeleka nchini Shinari, akaviweka katika hazina ya miungu yake.

Kusoma sura kamili Danieli 1

Mtazamo Danieli 1:2 katika mazingira