Danieli 11:41 BHN

41 Ataivamia hata nchi ile tukufu na kuua maelfu ya watu. Lakini nchi za Edomu, Moabu na sehemu kubwa ya Amoni, zitaokoka kutoka mikononi mwake.

Kusoma sura kamili Danieli 11

Mtazamo Danieli 11:41 katika mazingira